Friday, May 17, 2013

JIJI LA DAR ES SALAAM LINAVYOONGOZA KWA USAFI...

Maji taka yakitiririka na kutapakaa katika mitaa ya India na Indiraghandi Jijini Dar es Salaam huku Mchoma viazi vitamu na watembea kwa miguu wakipita katika maji hayo kitu ambacho ni hatari kwa afya ya wakazi wa maeneo hayo (Picha na Eleuteri Mangi – MAELEZO).

No comments:

Post a Comment