![]() | ||
Hapa mharusi wakikata keki |
![]() |
Vikorombwezo |
![]() |
Wakilishana keki |
![]() |
Twenzetu....! Maharusi wakiingia ukumbini. |
![]() |
Wakipokewa ukumbini na MC wa shughuli hiyo, 'Mzee wa Salam Aleko' Ephraim Kibonde |
![]() |
Hapa wakiwakabidhi keki wazazi. |
![]() |
MC wa shughuli hiyo, 'Mzee wa Salam Aleko' Ephraim Kibonde akifanya vitu vyake. |
![]() |
Tamuuuu...! |
![]() |
Wapambe wa biharusi Aneth |
![]() | |
Kayanda na 'mai wafiu' wake Aneth wakiingia ukumbini (PICHA ZOTE KWA HISANI YA: issamichuzi.blogspot.com) |
Sherehe za harusi hiyo zilipambwa na burudani mbalimbali, huku aliyesisimua zaidi ukumbini akiwa ni mtangazaji mwingine wa kipindi cha Jahazi, Ephraim Kibonde a.k.a Mzee wa Salam Aleko.
Straika inampa 'big up' za kumwaga Kayanda na kumtakia kheri na fanaka katika maisha yake mapya ya ndoa!
No comments:
Post a Comment