Monday, July 23, 2012

TAZAMA BALAA LA RIHANNA WAKATI AKIJIACHIA KUPITA KIASI UFARANSA



Msanii nyota wa Marekani, Rihanna ameendelea kuwa ‘bize’ katika ziara zake za kula bata katika maeneo mbalimbali yanayosifika kwa kuponda maraha duniani.

Akiwa na rundo la wapambe wake, Rihanna ameshajirusha sana katika maeneo ya kujidai ya jiji la New York, akaenda zake Barbados, akatua nchini Italia na sasa yuko katika fukwe za kusini mwa Ufaransa, akiendelea kujiachia kupita kiasi na wapambe wake ndani ya boti ya kifahari.  

Tazama baadhi ya mapicha yake aliyopigwa jana wakati yeye na wenzake wakila, kukata kilaji, kuvuta sigara, kuimba, kukata mauno sanaaaa na kasha kujimwaga baharini na vijaketi maalum vya kuogelea na pia kuendesha ‘pikipiki’ za baharini.
Yanawahu? Fuata nyuki upate manundu
Mchumu mchumu, mchumu tena....mmwaaa!
Chezea Rihanna weye... nani anamuweza kwa mauno?
We unageuka kwangu kuna nini? Si uendelee na mambo yako!


Hapa Rihanna keshaanza kuwa bwaksi....bila shaka anaimba: "... nataka paja miee.. hakinitoshi kipapatio!
Hapa mrembo kakalia nini? Kigoda cha Rihanna!
Usiangalie utapofuka!

Mitungiii, blantiii, mikasii...ooh yeah!
Wewweeeeeehhh....!

Twende nikupe lifti
 

No comments:

Post a Comment