Monday, October 8, 2012

BWIRU SEKONDARI ILIVYOILAZA BUTIMBA SEKONDARI KIKAPU CHA SPRITE MWANZA

Hamis Said wa Bwiru Sekondari akiruka juu na kupachika kikapu wakati wa fainali ya michuano ya mpira wa kikapu kwa shule za sekondari mkoa wa Mwanza. Fainali hizo zilifanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba kwa udhamini wa kampuni ya Coca-Cola kupitia kinywaji chake cha Sprite. Bwiru Sekondari ilishinda kwa pointi 17-12.

 Jackson Yotamu (kulia) wa Butimba sekondari akimiliki mpira mbele ya Alfred Maliseli wa Bwiru sekondari wakati wa fainali ya michuano ya mpira wa kikapu kwa shule za sekondari mkoa wa Mwanza. Fainali hizo zilifanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba kwa udhamini wa kampuni ya Coca-Cola kupitia kinywaji chake cha Sprite.

No comments:

Post a Comment