Sunday, September 2, 2012

ROSE LUCAS ABEBA TAJI REDD'S MISS KANDA YA MASHARIKI 2012

Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012, Rose Lucas akiwa ni mwenye furaha baada ya kutajwa kuwa mshindi akiwashinda warembo wengine 11 katika kinyanganyiro hicho cha aina yake.
Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012, Rose Lucas (katikati) akipunga mkono kwa furaha akiwa na mashindi wa pili Irene Veda (kulia) na mshindi wa tatu Joyce Baluhi mara baada ya kutangazwa kuwa washindi wa shindano hilo lililofanyika mjini Morogoro usiku wa Septemba Septemba 1, mwaka huu. Warembo hawa wote watashiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2012 baadae mwaka huu.
Washiriki wa Shindano la Urembo la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012 walioingia hatua ya tano bora wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutinga hatua hiyo. Kutoka kushoto ni Zuhura Gora (6), Irene Veda (7), Salvina Kibona (4), Rose Lucas (9) na Joyce Baluhi (5).
Twende sasa.... vimwana washiriki wa shindano la Redd's Miss Kanda ya Mashariki wakidansi wakati wa shoo ya utambulisho
Twende sasa.... vimwana washiriki wa shindano la Redd's Miss Kanda ya Mashariki wakidansi wakati wa shoo ya utambulisho
Warembo wa Redds Miss Kanda ya Mashariki wakicheza shoo ya ufunguzi wa shindano lao lililofanyika hoteli ya Nashera Mjini Morogoro usiku wa kuamkia leo.
CHANZO: Mrokim@blogspot.com 

No comments:

Post a Comment