Straika mpya wa Manchester United, Robin van Persie akiwa hoi wakati wa mechi yao ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Everton kwenye Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool, kaskazini mwa England jana Agosti 20, 2012. Man United "walikalishwa" 1-0 kwa bao la Marouane Fellaini. Picha: REUTERS |
No comments:
Post a Comment