Mtanzania anayecheza katika ligi ya
mpira wa kikapu ya NBA ya Marekani, Hasheem Thabeet (kulia) akizungumza na wanahabari
baada ya kumpokea mchezaji wa mchezo huo katika timu ya Chicago Bulls, Loul
Deng, kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya kliniki ya mpira wa
kikapu ya siku mbili itakayodhaminiwa na Sprite.
|
No comments:
Post a Comment