Mmoja wa mabalozi wa kinywaji kipya cha Maltiza, Blandina Constatine (kulia) akitambusha kinywaji hicho kisicho na kilevi kinachozalishwa na kampuni ya bia (TBL) wakati wa uzinduzi uliofanyika kwenye kiwanja cha Safisha jijini Mwanza. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wadau wa jiji la Mwanza waliohudhuria uzinduzi huo. Picha: Intellectuals Communications Limited |
No comments:
Post a Comment