Msanii chipukizi wa kundi TMK Wanaume, Dogo Asley akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la Familia katika siku ya Idd Pili lililoandaliwa na vinywaji vya Grandmalt, Vita Malt na kinywaji kipya cha Maltiza kwenye fukwe ya Coco jijini Dar es Salaam. Picha: Hisani ya Intellectuals Communications Limited |
No comments:
Post a Comment