Straika wa Chelsea, Fernando Torres akifunga bao dhidi ya Reading wakati wa mechi yao ya Ligi Kuu ya England kwenye Uwanja wa Stamford Bridge mjini London jana usiku Agosti 22, 2012. Licha ya kufunga goli hilo la tatu la timu yake akiwa ameotea, lilihesabiwa. Chelsea ambao walienda mapumziko wakiwa nyuma kwa mabao 2-1, walizinduka na kushinda 4-2. Picha: REUTERS |
No comments:
Post a Comment