![]() |
| Mpiga besi wa bendi ya Extra Bongo, Hoseah Mgohachi akifanya vitu vyake wakati waonyesho la First Africa mjini Tempere, Finland. |
![]() |
| Kiongozi wa madansa wa bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akifanya mambo yake wakati wa onyesho la First Africa mjini Tempere, Finland. |
![]() |
| Ally Choki (kushoto) na waimbaji wake Boby Kissa (katikati) na Athans Montanabe wakifanya vitu vyao kwenye onyesho la First Africa lililofanyika mjini Tempere, Finland. |
![]() |
| Vimwana Extra Bongo wakishambulia jukwaa onyesho la First Africa lililofanyika mjini Tempere, Finland |




No comments:
Post a Comment