Mi najua wewe... Wema Sepetu akila zoezi la kuzichapa na Jacqueline Wolper chini ya kocha wake Rashid Matumla (kushoto). |
one-two, one-two... upper cut. Wema akipasha na Matumla |
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric
James Shigongo akitoa neno katika Tamasha la Usiku wa Matumaini ndani ya
Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akitoa neo la matumaini kwa taifa letu wakati wa Tamasha la Usiku wa Matumaini
PICHA ZOTE: Globalpublishers.com
No comments:
Post a Comment