Monday, July 23, 2012

RONALDO AFICHUA SABABU ZA KUTOJICHORA 'TATTOO'


Ronaldo akichangia damu hospitalini
Straika wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameeleza sababu kubwa ya kutojichora ‘tattoo’ mwilini kama ilivyo kwa mastaa wengine wa soka kuwa ni kutokana na desturi yake ya kuchangia damu mara kwa mara.

Ronaldo ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook ambamo pia aliambatanisha picha inayomuonyesha akitoa damu hospitalini.

 “Sina tattoo mwilini kwa sababu huwa ninachangia damu kila mara,” amesema Ronaldo.

No comments:

Post a Comment