Tuesday, July 24, 2012

NDEGE YA PRECISION YENYE ABIRIA 30 YAPASUKA TAIRI JIONI HII IKIWA NA ABIRIA 30 KIGOMA



Abiria 30 wamenusurika kufa baada ya ndege ya Precision Air aina ya ATR 200, yenye namba za usajili  5HPW kupasuka tairi lake la tatu wakati ikikaribia kupaa katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma na kuelekea jijini Dar es Salaam.

Taarifa zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea saa 11:00 jioni na hatma ya safari ya abiria hao inasubiri maelekezo zaidi kutoka kwenye ofisi za ndege hiyo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment