Abiria 30 wamenusurika kufa baada ya
ndege ya Precision Air aina ya ATR 200, yenye namba za usajili 5HPW kupasuka tairi lake la tatu wakati
ikikaribia kupaa katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma na kuelekea jijini Dar es
Salaam.
Taarifa zimeeleza kuwa tukio hilo
limetokea saa 11:00 jioni na hatma ya safari ya abiria hao inasubiri maelekezo
zaidi kutoka kwenye ofisi za ndege hiyo jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment