Sunday, February 3, 2013

MALINDI YAIZAMISHA BANDARI LIGI YA GRAND MALT ZANZIBAR

Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) akimiliki mpira dhidi ya Yussuf Saleh wa Malindi wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Mao Tse Tung leo. Malindi ilishinda mabao 3-1.
Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) akimiliki mpira dhidi ya Yussuf Saleh wa Malindi wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Mao Tse Tung leo. Malindi ilishinda mabao 3-1.
Mchezaji Haji wa Haji  wa Malindi akimiliki mpira wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Mao Tse Tung leo. Malindi ilishinda 3-1.

Rajab Rashid wa Malindi (mbele) akimzidi akili mchezaji mwenzake wa Bandari wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Mao Tse Tung leo. Malindi ilishinda 3-1.


Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) akimiliki mpira dhidi ya Yussuf Saleh wa Malindi wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Mao Tse Tung leo. Malindi ilishinda mabao 3-1.

No comments:

Post a Comment