Friday, September 7, 2012

NICKI MINAJ AKERA MASHABIKI KWA KUMTOSA OBAMA NA KUMPIGIA KAMPENI YA URAIS MITT ROMNEY... ASHINDA VIDEO BORA YA MSANII WA KIKE YA MTV

Rapa/muimbaji Nicki Minaj akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akipozi kwa picha wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akipozi kwa picha wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akipozi kwa picha wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akipozi kwa picha wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
 
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Viatu vya Rapa/muimbaji Nicki Minaj wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .

Rapa/muimbaji Nicki Minaj (katikati) akipagawa baada ya kutajwa kuwa mshindi wa tuzo ya Video Bora ya Msanii wa Kike stejini wakati wa tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj (katikati) akipagawisha mashabiki wakati akitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Rapa/muimbaji Nicki Minaj (katikati) akishukuru kwa tuzo ya Video Bora ya Msanii wa Kike stejini wakati wa tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .
Kutoka kushoto muimbaji/rapa Nicki Minaj na marapa Drake na Lil Wayne wakishukuru kwa tuzo ya Video Bora ya Hip Hop stejini wakati wa tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rapa/muimbaji Nicki Minaj akipozi kwa picha wakati akiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za Video Bora za Muziki za MTV Video Music Awards 2012 kwenye ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012 .

Nicki Minaj (kushoto) na mgombea urais wa Marekani, Mitt Romney

RAPA wa lebo ya kurekodi muziki ya Young Money, Nicki Minaj kwa mara nyingine amekuwa kitovu cha utata.

Katika wimbo wake mpya wa "Mercy" aliouweka katika albam ya nyimbo mchanganyiko ya Lil Wayne iitwayo 'Dedication 4,' Nicki Minaj anarap: "Mimi ni Republican nampigia kura Mitt Romney, nyie mal*ya wavivu anaua uchumi."

Mstari huu haujawafurahisha mashabiki wa wote Nicki Minaj na Rais Obama.

Tangu kutoka kwa taarifa ya wimbo huo, Nicki Minaj amekuwa mjadala mkubwa katika mtandao wa kijamii wa Twitter, huku maelfu ya mashabiki wenye hasira waki-tweet kutokuwa na imani na rapa huyo.


Nicki Minaj jana alikuwa na usiku mzuri jana baada ya kushinda tuzo ya Video Bora ya Muziki katika tamasha la MTV Music Awards 2012.

No comments:

Post a Comment