Thursday, September 27, 2012

ARSENAL YAUA 6-1, MAN UTD YAWAZAMISHA NEWCASTLE KOMBE LA CARLING (CAPITAL ONE CUP)... SASA MAN U KUVAANA NA CHELSEA, LIVERPOOL V SWANSEA

Anderson wa Manchester United akimtoka Fabricio Coloccini wa Newcastle United (kushoto) wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.
Kipa wa Coventry City, Joe Murphy akiwa hoi baada ya Ignasi Miquel  wa Arsenal kufunga wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Ignasi Miquel wa Arsenal (katikati) akifunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Andrei Arshavin akifunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Andrei Arshavin akimiliki mpira wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi dhidi ya Coventry City kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Andrei Arshavin akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

Straika wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain akipiga shuti kufunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

Straika wa Arsenal, Andrei Arshavin akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Olivier Giroud akikosa penalti dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Kiungo wa Real Madrid aliye kwa mkopo Liverpool, Nuri Sahin (kushoto) akishangilia goli lake alilofunga pamoja na mchezaji mwenzake Yesil wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi dhidi ya West Bromwich Albion kwenye Uwanja wa The Hawthorns mjini Birmingham Septemba 26, 2012. Picha: REUTERS
Jeraha la Rooney.... Picha inayoonyesha jeraha la straika Wayne Rooney wa Manchester United wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One dhidi ya Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.
Kipa wa Coventry City, Joe Murphy akiokoa shuti kutoka kwa Straika wa Arsenal, Theo Walcott wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Arsenal, Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

Straika wa Arsenal, Olivier Giroud (kulia) akifunga goli dhidi ya kipa wa Coventry City, Joe Murphy wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

Chicharito wa Manchester United akipiga shuti wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One dhidi ya Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.
Kiungo wa Manchester United, Anderson (kulia) akibanwa na beki wa Newcastle United, Fabricio Coloccini wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester jana Septemba 26, 2012. Picha: REUTERS
Kiungo wa Real Madrid aliye kwa mkopo Liverpool, Nuri Sahin (kushoto) akipiga shuti kufunga goli dhidi ya West Bromwich Albion wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa The Hawthorns mjini Birmingham Septemba 26, 2012. Picha: REUTERS

Straika wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain (katikati) akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya Coventry City pamoja na mchezaji mwenzake Nico Yennaris wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Straika wa Chelsea aliye kwa mkopo West Bromwich Albion, Romelu Lukaka (kulia) akiondoka na 'ngoma' huku akifuatwa na Andre Wisdom wa Liverpool wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa The Hawthorns mjini Birmingham jana usiku Septemba 26, 2012. Picha: REUTERS

Straika wa Arsenal, Theo Walcott akifunga goli dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS
Ignasi Miquel wa Arsenal akishangilia baada ya kufunga goli lake dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

Tom Cleverly (kushoto) wa Manchester United akishangilia goli lake pamoja na Danny Welbeck wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One dhidi ya Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012. Man U walishinda 2-1.
Chicharito wa Manchester United akipiga shuti wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One dhidi ya Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.

Papiss Cisse wa Newcastle United akifunga goli dhidi ya kipa wa Manchester United, David de Gea (kulia) wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.
Papiss Cisse wa Newcastle United akishangilia goli lake alilofunga dhidi ya Manchester United, David de Gea (kulia) wakati wa mechi yao ya raundi ya tatu Kombe la Capital One kwenye Uwanja wa Old Trafford jana Septemba 26, 2012.
Straika wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake Francis Coquelin (kushoto) na Nico Yennaris baada ya kufunga dhidi ya Coventry City wakati wa mechi yao ya Kombe la Ligi kwenye Uwanja wa Emirates mjini London jana usiku Septemba 26, 2012. Arsenal ilishinda 6-1. Picha: REUTERS

LONDON, England
Chelsea watawakaribisha Manchester United katika mechi yao ya Kombe la Capital One (zamani Carling Cup) baada ya klabu hizo mbili kupangwa pamoja katika ratiba ya raundi ya nne ya michuano hiyo jana.

Man U, ambaye ni mabingwa mara nne wa kombe hilo, waliwafunga Newcastle United mabao 2-1 jana na kuandaa na mazingira ya kukutana na Chelsea ambao juzi waliwasambaratisha Wolverhampton Wanderers kwa kuwapa kipigo cha mabao 6-0 katika mechi yao ya raundi ya tatu.

Kocha wa Liverpool (iliyoshinda 2-1 mechi ya kombe hilo jana dhidi ya West Brom Albion), Brendan Rodgers ataikaribisha klabu yake ya zamani ya Swansea City na wanafainali wa 2011, Arsenal watakuwa ugenini kucheza dhidi ya Reading baada ya vijana wa kocha Arsene Wenger kushinda pia jana kwa mabao 6-1 dhidi ya Coventry City.

Leeds United, ambao waliwashangaza Everton kwa kuwafunga juzi, watakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Southampton huku wababe wa Manchester City, Aston Villa wakisafiri kwenda kucheza dhidi ya Swindon Town.

Mechi hizo za raundi ya nne zitaanza kuchezwa Oktoba 29.


RATIBA RAUNDI YA NNE CAPITAL CUP


Sunderland       v Middlesbrough

Swindon Town  v Aston Villa

Wigan Athletic  v Bradford

Leeds United    v Southampton

Norwich City    v Tottenham Hotspur

Liverpool          v Swansea City

Chelsea            v Manchester United

No comments:

Post a Comment