Monday, August 13, 2012

WACHEKI AKINA MESSI, NEYMAR WAKIJIFUA LEO NA TIMU ZAO ZA TAIFA KWA AJILI YA MECHI ZAO ZA KIRAFIKI ZA JUMATANO

Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akipiga mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa mjini Frankfurt leo Agosti 13, 2012. Argentina watacheza dhidi ya Ujerumani katika mechi ya soka ya kirafiki mjini Frankfurt Jumatano. Picha: REUTERS
Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akipiga mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa mjini Frankfurt leo Agosti 13, 2012. Argentina watacheza dhidi ya Ujerumani katika mechi ya soka ya kirafiki mjini Frankfurt Jumatano. Picha: REUTERS
Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akipiga mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa mjini Frankfurt leo Agosti 13, 2012. Argentina watacheza dhidi ya Ujerumani katika mechi ya soka ya kirafiki mjini Frankfurt Jumatano. Picha: REUTERS
Wachezaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar (kushoto) na Thiago Silva wakipasha wakati wa mazoezi yao leo ya kujiandaa na mechi yao ya kirafiki dhidi ya Sweden kwenye Uwanja wa Soderstadion mjini Stockholm leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Beki wa timu ya taifa ya Brazil, Dani Alves akishiriki mazoezi yao leo ya kujiandaa na mechi yao ya kirafiki dhidi ya Sweden kwenye Uwanja wa Soderstadion mjini Stockholm leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Beki wa timu ya taifa ya Brazil, Thiago Silva akishiriki mazoezi yao leo ya kujiandaa na mechi yao ya kirafiki dhidi ya Sweden kwenye Uwanja wa Soderstadion mjini Stockholm leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Brazil, ambao walitwaa medali ya dhahabu katika Michezo ya Olimpiki ya London 2012, wakisalimia mashabiki katika gari la zimamoto mjini Sao Paulo leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Brazil, ambao walitwaa medali ya dhahabu katika Michezo ya Olimpiki ya London 2012, wakisalimia mashabiki katika gari la zimamoto mjini Sao Paulo leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Mabingwa na washindi wa medali za dhahabu wa timu ya Michezo ya Olimpiki ya Ufaransa wakipungia mashabiki kutokea katika basi la wazi mjini Paris wakati wakirejea nyumbani kutoka kushiriki Michezo ya Olimpiki ya London 2012 leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Mabingwa na washindi wa medali za dhahabu wa timu ya Michezo ya Olimpiki ya Ufaransa wakipungia mashabiki kutokea katika basi la wazi mjini Paris wakati wakirejea nyumbani kutoka kushiriki Michezo ya Olimpiki ya London 2012 leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS
Mabingwa na washindi wa medali za dhahabu wa timu ya Michezo ya Olimpiki ya Ufaransa wakipungia mashabiki kutokea katika basi la wazi mjini Paris wakati wakirejea nyumbani kutoka kushiriki Michezo ya Olimpiki ya London 2012 leo Agosti 13, 2012. Picha: REUTERS

No comments:

Post a Comment