|
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki akiimba katika moja ya shoo walizoanza kuzifanya nchini Finland wakati wa Tamasha la First Afrika |
|
Choki akicheza sambamba na wanamuziki wake |
|
Kiongozi wa wacheza shoo, Super Nyamwela akicheza sambamba na wacheza shoo wenzake Finland |
|
Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa tamasha hilo nchini Finland |
|
Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akiwaongoza wazungu kucheza baada ya kuvutiwa na staili za wacheza shoo wa bendi hiyo. |
|
Wacheza shoo wa Extra Bongo wakicheza huku wakiwa kwenye vazi la asili ya Kitanzani nchini Finland kwenye Tamasha la Fist Afrika |
|
No comments:
Post a Comment