Tuesday, July 24, 2012

MASHINDANO YA DANSI MIA MIA YAINGIA NUSU FAINALI


Wasanii wa kikundi kudansi cha The Chocolote wakionyesha mbwembwe zao wakati wa mashindano ya 100% yanayoandaliwa na televisheni Na.1 kwa vijana Afrika Mashariki ya EATV. Washindi wataondoka na zawadi ya Sh. milioni 5.     

Kikundi pekee cha akina dada kwenye mashindano ya Dance 100% wakionyesha vitu vyao kwenye robo fainali. Mashindano haya yameandaliwa na EATV.        

Sehemu ya umati wa mashabiki waliofurika kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam kushuhudia mashindano ya Dansi Mia Mia.
Watasha wakifuatilia staili za hatari za kudansi kutoka kwa vijana wa Kitanzania kwenye viwanja wa Leaders Club Kinondoni...

Vijana wakionyesha mambo...

Madansa wa kikundi cha Best Friends wakifanya mabalaa yao wakati wa mashindano ya Dance Mia Mia...

Dansa wa kikundi cha Best Friends akizungukia kichwa wakati wa mashindano ya Dance Mia Mia...

Madansa wa kikundi cha Best Friends wakifanya mabalaa yao wakati wa mashindano ya Dance Mia Mia...

Madansa wa kikundi cha T-Africa wakionyesha staili zao wakati wa mashindano ya Dance Mia Mia...

No comments:

Post a Comment