Monday, July 23, 2012

BOLT AJIPANGA KUTETEA MATAJI OLIMPIKI

Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaica akipozi na viatu vyake vya kukimbilia na sare rasmi ya timu yao kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya London 2012 wakati wa tukio la kupiga picha, lililoandaliwa na wadhamini wake PUMA pembeni ya basi la kiutamaduni nje ya Jumba la Makumbusho la London Juni 1, 2012.

Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaica akipozi na viatu vyake vya kukimbilia na sare rasmi ya timu yao kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya London 2012 wakati wa tukio la kupiga picha, lililoandaliwa na wadhamini wake PUMA katika mlango wa basi la kiutamaduni nje ya Jumba la Makumbusho la London Juni 1, 2012.

Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaica akipozi na viatu vyake vya kukimbilia na sare rasmi ya timu yao kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya London 2012 wakati wa tukio la kupiga picha, lililoandaliwa na wadhamini wake PUMA mbele ya basi la kiutamaduni nje ya Jumba la Makumbusho la London Juni 1, 2012.

Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaica akipozi na viatu vyake vya kukimbilia na sare rasmi ya timu yao kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya London 2012 wakati wa tukio la kupiga picha, lililoandaliwa na wadhamini wake PUMA akipanda basi la kiutamaduni nje ya Jumba la Makumbusho la London Juni 1, 2012.

Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaica akipozi na viatu vyake vya kukimbilia na sare rasmi ya timu yao kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya London 2012 wakati wa tukio la kupiga picha, lililoandaliwa na wadhamini wake PUMA kwenye mlango wa basi la kiutamaduni nje ya Jumba la Makumbusho la London Juni 1, 2012.


Bolt anatarajiwa kutetea ubingwa wake wa mita 100 na mita 200 alioupata na kutwaa medali za dhahabu Beijing katika mashindano ya Olimpiki ya London 2012. 

Anatarajiwa kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Mjamaica mwenzake anayefanya naye mazoezi, Yohan Blake, ambaye tayari keshamwangusha mara mbili mwaka huu wakati wakiwania ubingwa wa Jamaica katika mbio za mita 100 na mita 200.

No comments:

Post a Comment