Lisa Jensen (katikati) akivishwa taji la Redds Miss
Tanzania 2012 na mrembo wa mwaka jana Salha Israel (kushoto) baada ya
kushinda shindano hilo kwenye ukumbi wa Klabu 327 jijini Dar es Salaam
usiku wa kuamkia leo. Kulia ni mshindi wa tatu Pendo Laizer. Picha:
INTELLECTUALS COMMUNICATIONS LIMITED |
No comments:
Post a Comment