Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2012, wakiangalia maelezo mbalimbali na picha za Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro, wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo leo kujifunza na kujionea mambo mbalimbali. Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012 wapo Kanda ya Kaskazini kwa ziara ya kuhamasisha Utalii wa Ndani. |
No comments:
Post a Comment