Thursday, September 6, 2012

REDD'S MISS KANDA YA ILALA NI KESHO IJUMAA NYUMBANI LOUNGE

Meneja wa kinywaji cha Redds Original, Victoria Kimaro (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali ya urembo ya Redd's Miss Kanda ya Ilala inayotarajia kufanyika leo katika ukumbi wa Nyumbani Lounge uliopo Namanga jijini Dar es Salaam. Katikati ni mratibu wa shindano hilo, Juma Madabila na msanii wa filamu, Steve Nyerere, ambaye atakuwa mshereheshaji wa shindano hilo. Picha: Intellectuals Communications Limited
Meneja wa kinywaji cha Redds Original, Victoria Kimaro (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali ya urembo ya Redd's Miss Kanda ya Ilala inayotarajia kufanyika leo katika ukumbi wa Nyumbani Lounge uliopo Namanga jijini Dar es Salaam. Katikati ni mratibu wa shindano hilo, Juma Madabila na msanii wa filamu, Steve Nyerere, ambaye atakuwa mshereheshaji wa shindano hilo. Kulia ni baadhi ya warembo watakaoshiriki shindano hilo. Picha: Intellectuals Communications Limited
Msanii wa filamu, Steve Nyerere (kulia), ambaye atakuwa mshereheshaji wa shindano la urembo la Redd's Miss Kanda ya Ilala linayotarajiwa kesho katika ukumbi wa Nyumbani Lounge uliopo Namanga jijini Dar es Salaam, akizungumza wakati wa mkutano na wana habari leo. Wengine pichani ni mratibu wa shindano hilo, Juma Madabila (wa pili kulia) na meneja wa kinywaji cha Redds Original, Victoria Kimaro (wa tatu kulia). Kushoto ni warembo washiriki wa shindano hilo. Picha: Intellectuals Communications Limited

Mratibu wa shindano la Redd's Miss Kanda ya Ilala, Juma Madabila (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali ya urembo inayotarajiwa kufanyika kesho kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge uliopo Namanga jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni meneja wa kinywaji cha Redds Original, Victoria Kimaro (kushoto) na msanii wa filamu, Steve Nyerere, ambaye atakuwa mshereheshaji wa shindano hilo. Picha: Intellectuals Communications Limited

No comments:

Post a Comment