Wednesday, July 4, 2012

TUMUANGALIE JB, JACKLINE WOLPER

Wakazi wa Mji wa Tanga toka maeneo mbali mbali wakifuatilia moja ya filamu za Bongo Movie inayofahamika kwa jina la 'Taxi Driver' iliyochezwa na waigizaji JB na Jackline Wolper iliyokuwa ikionyeshwa katika tamasha la wazi la filamu kwenye viwanja vya Tangamano, Tanga. Tamasha hili linadhaminikwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia kinywaji chake kisicho na Kilevi cha Grand Malt. Picha na Intellectuals Communications Ltd.
Kasha la filamu ya Dereva Taxi linavyoonekana likiwaonyesha waigizaji Jacob Steven 'JB' (kushoto) na Jackline Wolper.

No comments:

Post a Comment