Wednesday, July 4, 2012

LUCIO ATIMKA INTER MILAN, ATUA JUVENTUS


Lucio
MILAN, Italia
BEKI wa kati wa Brazil, Lucio yuko mbioni kutua Juventus baada ya kuachwa na klabu yake ya sasa ya Inter Milan, Juve ambao ni mabingwa wa Serie A, Ligi Kuu ya Italia walisema katika taarifa yao leo.

Ilielezwa zaidi kuwa beki huyo wa zamani wa Bayern Munich alitarajiwa kuchukuliwa vipimo vya afya jana.

No comments:

Post a Comment