Thursday, June 21, 2012


COCACOLA WAMWAGA VIFAA COPA COCACOLA

Wawakilishi kutoka Coca-Cola,  Allen Chikira (kushoto), Juma Munira (wa pili kushoto), Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah (kulia) na mwenyekiti wa mashindano ya vijana kutoka TFF, Ahmed Mgoyi (wa pili kulia) wakionyesha baadhi ya vifaa vya michezo vilivyotolewa na Kampuni ya Coca-Cola kwa ajili ya michuano ya taifa ya Copa Coca-Cola inayotarajiwa kutimua vumbi Juni 24.

 


No comments:

Post a Comment